Je nani kaiga logo ya mwengine kati ya Clouds TV ya Tanzania na kampuni ya kutengeneza App ya Kifaransa?

Duniani kumekuwa na sheria kali sana za kugushi nembo ya kampuni na kujimilikisha kuwa ni nembo yako (http://www.copyright.gov/fls/fl100.html), TECHTZ team katika pita pita zake imejikuta ikikumbana na Logo inayo fanana au kuendana kabisa na nembo ya shirika maarufu la habari Tanzania Clouds Tv. Je ni nani amejaribu kumuiga au kuiba umiliki wa mwenzake?
Clouds_TV_lrg
Kampuni moja nchini Ufaransa maarufu sana kwa utengenezaji wa program za simu (Mobile  App) za kimazingaubwe inayo milikiwa na Mikael Montier imeonekana kuwa na nembo (Logo) inayoendana sawa sawa na  nembo ile ya Clouds TV ya nchini Tanzania. SwahiliTech bado inaendelea fatilia ni nani kati ya manguli hawa wawili aliekosa ubunifu na kuamua kuiga nembo ya mwenzake, je wanajuana?
Clouds Tv kwa mara ya kwanza ilionekana kuwa na nembo kama hii.
Clouds+TV+logo_669
Nabaadae Kidogo kubadilika na kuanza kutumia nembo yao mpya ambayo inaonekana kufanana na nembo ya jamaa huyo wa Kifaransa Mikael Montier https://play.google.com/store/apps/details?id=com.magictrick.app
GooglePlay
Endelea tembeleaTECHTZ kujua kitachoendelea na nani ataeweza kumshitaki mwenzake kwa kutumia utambulisho wa nembo yake kwa kutumia sheria za haki miliki za kitaifa na kimataifa.
Share on Google Plus

About mboo safi nene na ndefu

0 comments:

Post a Comment